Taasisi ya Nchi za Asia na Afrika, Chuo Kikuu cha Moscow. Uchunguzi wa Kiswahili katika Urusi
In: Swahili Forum; 2(1995), S. 187-191, 2012
Online
academicJournal
Zugriff:
Utafiti wa lugha ya Kiswahili katika Urusi ulianza mwishoni mwa karne ya 18. Lakini utafiti hasa wa lugha za Kiafrika katika Urusi ulihusu ukoo wa Kisemetiki. Lakini uchunguzi kamili wa lugha za Kiafrika hasa lugha hai ulianza katika Urusi baada ya Mapinduzi ya Oktoba yatokee. Na lugha ya kwanza ya Afrika ya kitropiki iliyofundishwa katika Urusi ya kisoviet ilikuwa ni lugha ya Kiswahili.
Titel: |
Taasisi ya Nchi za Asia na Afrika, Chuo Kikuu cha Moscow. Uchunguzi wa Kiswahili katika Urusi
|
---|---|
Autor/in / Beteiligte Person: | Gromova, Nelly V. ; Moscow State Lomonosov University ; Universität zu Köln |
Link: | |
Zeitschrift: | Swahili Forum; 2(1995), S. 187-191, 2012 |
Veröffentlichung: | 2012 |
Medientyp: | academicJournal |
Schlagwort: |
|
Sonstiges: |
|